2 Samuel 15:1 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baada ya tukio hilo, Absalomu alijipatia gari, farasi na watu hamsini wa kumtangulia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya muda, Absalomu akajipatia magari ya vita na farasi pamoja na watu hamsini wa kupiga mbio mbele yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa baada ya hayo, Absalomu akajiwekea tayari gari na farasi, na watu hamsini wa kupiga mbio mbele yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baada ya tukio hilo, Absalomu alijipatia gari, farasi na watu hamsini wa kumtangulia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya muda, Absalomu akajipatia magari ya vita na farasi pamoja na watu hamsini wa kupiga mbio mbele yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya muda, Absalomu akajipatia magari ya vita na farasi pamoja na watu hamsini wa kupiga mbio mbele yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa baada ya hayo, Absalomu akajiwekea tayari gari na farasi, na watu hamsini wa kupiga mbio mbele yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baada ya tukio hilo, Absalomu alijipatia gari, farasi na watu hamsini wa kumtangulia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hayo yalipokwisha, Abisalomu akajipatia magari na farasi na watu 50, wamtangulie na kupiga mbio.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa baada ya hayo, Absalomu akajiwekea tayari gari na farasi, na watu hamsini wa kupiga mbio mbele yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nyuma ya tukio hilo, Abusaloma alijipatia gari, farasi na watu makumi tano wa kumutangulia.