2 Samuel 15:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfalme akaondoka pamoja na watu wake wote. Lakini akatua kidogo walipofikia nyumba ya mwisho mjini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo mfalme akaondoka, pamoja na watu wote wakimfuata, wakatua mahali mbali kiasi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mfalme akatoka, na watu wote wakamfuata; wakakaa kidogo katika Beth-merhaki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfalme akaondoka pamoja na watu wake wote. Lakini akatua kidogo walipofikia nyumba ya mwisho mjini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo mfalme akaondoka, pamoja na watu wote wakimfuata, wakatua mahali mbali kiasi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo mfalme akaondoka, pamoja na watu wote wakimfuata, wakatua mahali mbali kiasi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mfalme akatoka, na watu wote wakamfuata; wakakaa kidogo katika Beth-merhaki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfalme akaondoka pamoja na watu wake wote. Lakini akatua kidogo walipofikia nyumba ya mwisho mjini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mfalme alipokwisha kutoka hivyo pamoja na watu wake wote, wakienda kwa miguu, wakasimama penye nyumba ya mwisho.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mfalme akatoka, na watu wote wakamfuata; wakakaa kidogo katika Beth-merhaki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme akaondoka pamoja na watu wake wote. Lakini akasimama kidogo walipofikia nyumba ya mwisho katika muji.