2 Samuel 15:33 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Daudi akamwambia, “Ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Daudi akamwambia, “Ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Daudi akamwambia, Ukienda mbele pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Daudi akamwambia, “Ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Daudi akamwambia, “Kama ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Daudi akamwambia, “Kama ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Daudi akamwambia, Ukienda mbele pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Daudi akamwambia, “Ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Dawidi akamwambia: Ukienda pamoja nami safari yangu, ndipo, utakaponilemea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Daudi akamwambia, Ukienda mbele pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Daudi akamwambia: “Ukienda pamoja nami, utakuwa muzigo kwangu.