2 Samuel 15:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfalme akamwambia, “Basi, nenda kwa amani.” Absalomu akaondoka kwenda Hebroni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mfalme akamwambia, “Nenda kwa amani.” Hivyo akaenda Hebroni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye mfalme akamwambia, Enenda na amani. Basi akaondoka, akaenda Hebroni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfalme akamwambia, “Basi, nenda kwa amani.” Absalomu akaondoka kwenda Hebroni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mfalme akamwambia, “Enenda kwa amani.” Hivyo akaenda Hebroni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mfalme akamwambia, “Enenda kwa amani.” Hivyo akaenda Hebroni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye mfalme akamwambia, Nenda kwa amani. Basi akaondoka, akaenda Hebroni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfalme akamwambia, “Basi, nenda kwa amani.” Absalomu akaondoka kwenda Hebroni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mfalme akamwambia: Nenda na kutengemana! Basi, akaondoka, akaenda Heburoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye mfalme akamwambia, Enenda na amani. Basi akaondoka, akaenda Hebroni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme akamwambia: “Basi, kwenda kwa amani.” Abusaloma akaondoka kwenda Hebroni.