2 Samuel 19:23 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha, mfalme akamwambia Shimei, “Wewe hutauawa.” Mfalme akamwapia Shimei.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi mfalme akamwambia Shimei, “Hutakufa.” Naye mfalme akamwahidi kwa kiapo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kisha mfalme akamwambia Shimei, Hutakufa. Mfalme akamwapia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha, mfalme akamwambia Shimei, “Wewe hutauawa.” Mfalme akamwapia Shimei.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi mfalme akamwambia Shimei, “Hutakufa.” Naye mfalme akamwahidi kwa kiapo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi mfalme akamwambia Shimei, “Hutakufa.” Naye mfalme akamwahidi kwa kiapo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kisha mfalme akamwambia Shimei, Hutakufa. Mfalme akamwapia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha, mfalme akamwambia Shimei, “Wewe hutauawa.” Mfalme akamwapia Shimei.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha mfalme akamwambia Simei na kumwapia: Hutauwa kabisa!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kisha mfalme akamwambia Shimei, Hutakufa. Mfalme akamwapia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Daudi akasema: “Wana wa Zeruya, kuna maneno gani kati yangu nanyi. Kwa nini munajifanya kama waadui zangu leo? Basi inawezekana kwa mutu yeyote katika Israeli kuuawa kwa siku ya leo? Sijui kwamba mimi ni mufalme wa Israeli siku ya leo?”