2 Samuel 2:29 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Abneri na watu wake walipita bonde la Araba usiku kucha. Wakavuka mto Yordani, wakatembea mchana kutwa hadi Mahanaimu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Usiku ule wote Abneri na watu wake wakatembea kupitia Araba. Wakavuka Mto Yordani, wakaendelea wakipitia nchi yote ya Bithroni wakafika Mahanaimu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakaenda Abneri na watu wake usiku ule wote kati ya ile Araba; wakavuka Yordani, wakapita kati ya Bithroni yote, wakaja Mahanaimu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Abneri na watu wake walipita bonde la Araba usiku kucha. Wakavuka mto Yordani, wakatembea mchana kutwa hadi Mahanaimu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Usiku ule wote Abneri na watu wake wakatembea kupitia Araba. Wakavuka Mto Yordani, wakaendelea wakipitia nchi yote ya Bithroni wakafika Mahanaimu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Usiku ule wote Abneri na watu wake wakatembea kupitia Araba. Wakavuka Mto Yordani, wakaendelea wakipitia nchi yote ya Bithroni wakafika Mahanaimu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakaenda Abneri na watu wake usiku ule wote kati ya ile Araba; wakavuka Yordani, wakapita kati ya Bithroni yote, wakaja Mahanaimu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Abneri na watu wake walipita bonde la Araba usiku kucha. Wakavuka mto Yordani, wakatembea mchana kutwa hadi Mahanaimu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Abineri na watu wake wakashika njia ya kupita jangwani usiku kucha, kisha wakavuka Yordani, wakapita Bitironi yote, kisha wakafika Mahanaimu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakaenda Abneri na watu wake usiku ule wote kati ya ile Araba; wakavuka Yordani, wakapita kati ya Bithroni yote, wakaja Mahanaimu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Abeneri na watu wake walipita katika bonde la Araba usiku kucha. Wakavuka Yordani, wakatembea muchana wote mpaka Mahanaimu.