2 Samuel 20:25 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shausha alikuwa katibu; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sheva alikuwa mwandishi; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na Shausha mwandishi; na Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shausha alikuwa katibu; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shevu alikuwa mwandishi; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sheva alikuwa mwandishi; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na Shausha mwandishi; na Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shausha alikuwa katibu; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Sewa alikuwa mwandishi, nao Sadoki na Abiatari walikuwa watambikaji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na Shausha mwandishi; na Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sewa alikuwa katibu. Zadoki na Abiatari walikuwa makuhani.