2 Samuel 20:26 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ira, Myairi alikuwa pia kuhani wa Daudi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
na Ira Myairi, alikuwa kuhani wa Daudi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena na Ira, Myairi, alikuwa kuhani kwa Daudi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ira, Myairi alikuwa pia kuhani wa Daudi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
na Ira, Myairi, alikuwa kuhani wa Daudi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
na Ira, Myairi, alikuwa kuhani wa Daudi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena na Ira, Myairi, alikuwa kuhani kwa Daudi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ira, Myairi alikuwa pia kuhani wa Daudi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Ira wa Yairi alikuwa mtambikaji wa Dawidi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena na Ira, Myairi, alikuwa kuhani kwa Daudi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ira wa muji Yairi alikuwa vilevile kuhani wa Daudi.