2 Samuel 22:28 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wewe wawaokoa walio wanyenyekevu, lakini wawaangalia wenye majivuno kuwaporomosha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wewe huwaokoa wanyenyekevu, lakini macho yako ni juu ya wenye kiburi ili uwashushe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na watu wanaoonewa wewe utawaokoa; Ila macho yako ni juu ya wenye kiburi, uwadhili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wewe wawaokoa walio wanyenyekevu, lakini wawaangalia wenye majivuno kuwaporomosha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wewe huwaokoa wanyenyekevu, lakini macho yako ni juu ya wenye kiburi ili uwashushe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wewe huwaokoa wanyenyekevu, lakini macho yako ni juu ya wenye kiburi ili uwashushe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na watu wanaoonewa wewe utawaokoa; Ila macho yako huwapinga wenye kiburi, uwadhili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wewe wawaokoa walio wanyenyekevu, lakini wawaangalia wenye majivuno kuwaporomosha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walio wanyonge huwaokoa, lakini macho yako huwapingia wajivunao, uwanyenyekeze.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na watu wanaoonewa wewe utawaokoa; Ila macho yako ni juu ya wenye kiburi, uwadhili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wewe unawaokoa wanyenyekevu, lakini unaangalia wenye majivuno kusudi uwashushe.