2 Samuel 22:31 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Anachofanya Mungu hakina dosari! Ahadi ya Mwenyezi-Mungu ni ya kuaminika; yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu; neno la Mwenyezi Mungu halina dosari. Yeye ni ngao kwa wote wanaokimbilia kwake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mungu njia yake ni kamilifu; Ahadi ya Bwana imehakikishwa; Yeye ndiye ngao yao Wote wanaomkimbilia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Anachofanya Mungu hakina dosari! Ahadi ya Mwenyezi-Mungu ni ya kuaminika; yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu; neno la BWANA ni kamilifu. Yeye ni ngao kwa wote wanaokimbilia kwake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu; neno la bwana halina dosari. Yeye ni ngao kwa wote wanaokimbilia kwake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mungu njia yake ni kamilifu; Ahadi ya BWANA imehakikishwa; Yeye ndiye ngao yao Wote wanaomkimbilia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Anachofanya Mungu hakina dosari! Ahadi ya Mwenyezi-Mungu ni ya kuaminika; yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Njia yake Mungu haipindiki, Neno lake Bwana limeng'azwa, yeye ni ngao yao wote wamkimbiliao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mungu njia yake ni kamilifu; Ahadi ya BWANA imehakikishwa; Yeye ndiye ngao yao Wote wanaomkimbilia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Matendo ya Mungu ni makamilifu. Ahadi ya Yawe ni ya kuaminika. Yeye ni ngao kwa wote wanaomukimbilia.