2 Samuel 22:33 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu huyu ndiye kimbilio langu imara, na ameifanya njia yangu iwe salama.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mungu ndiye anivikaye nguvu, na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mungu ndiye ngome yangu yenye nguvu; Naye huwaongoza wakamilifu katika njia yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu huyu ndiye kimbilio langu imara, na ameifanya njia yangu iwe salama.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mungu ndiye ngome yangu yenye nguvu; Naye huwaongoza wakamilifu katika njia yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu huyu ndiye kimbilio langu imara, na ameifanya njia yangu iwe salama.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mungu ni ngome yangu yenye nguvu, njia yangu huifanya po pote, iwe imenyoka kabisa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mungu ndiye ngome yangu yenye nguvu; Naye huwaongoza wakamilifu katika njia yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ni Mungu ambaye ananipatia nguvu, na anaifanya salama njia yangu.