2 Thessalonians 2:17 — Compare Translations

12 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
aifariji mioyo yenu na kuwaimarisheni ili muweze daima kutenda na kusema yaliyo mema.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
awafariji mioyo yenu na kuwaimarisha katika kila neno na tendo jema.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
awafariji mioyo yenu, na kuwafanya imara katika kila neno na tendo jema.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
aifariji mioyo yenu na kuwaimarisheni ili mweze daima kutenda na kusema yaliyo mema.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
aifariji mioyo yenu na kuwaimarisheni ili muweze daima kutenda na kusema yaliyo mema.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
awafariji mioyo yenu na kuwaimarisha katika kila neno na tendo jema.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
awafariji mioyo yenu na kuwaimarisha katika kila neno na tendo jema.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
awafariji mioyo yenu, na kuwafanya imara katika kila neno na tendo jema.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
aifariji mioyo yenu na kuwaimarisheni ili muweze daima kutenda na kusema yaliyo mema.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
awafariji mioyo yenu, na kuwafanya imara katika kila neno na tendo jema.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
awafariji na kuwaimarisha katika matendo na maneno yote mema.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
awafariji mioyo yenu, na kuwafanya imara katika killa neno na tendo jema.