2 Thessalonians 3:15 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini msiwafanye kama adui. Washaurini waachane na tabia hiyo kama watu wa nyumbani mwake Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini msimwazie kuwa mchukivu, ila mwonyeni kindugu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Musimuhesabu kama vile adui, lakini mumwonye kama vile ndugu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
illakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.