2 Thessalonians 3:5 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika uvumilivu tunaopewa na Kristo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mwenyezi Mungu aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika saburi ya Al-Masihi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bwana awaongoze mioyo yenu mkapate pendo la Mungu, na saburi ya Kristo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Tunaomba kwamba Bwana atasababisha mjisikie upendo wa Mungu na kukumbuka subira ya ustahimilivu wa Kristo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika uvumilivu tunaopewa na Kristo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika uvumilivu tunaopewa na Kristo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika saburi ya Kristo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mwenyezi Mungu na katika saburi ya Al-Masihi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bwana awaongoze mioyo yenu mkapate pendo la Mungu, na subira ya Kristo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika uvumilivu tunaopewa na Kristo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Bwana aiongoze mioyo yenu, iufikie upendo wa Mungu na uvumilivu wa Kristo!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bwana awaongoze mioyo yenu mkapate pendo la Mungu, na saburi ya Kristo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Bwana aongoze mafikiri yenu katika upendo wa Mungu na katika uvumilivu tunaopewa na Kristo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bwana awaongozeni mioyo yenu mkapate pendo la Mungu, na uvumilivu wa Kristo.