2 Timothy 1:4 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nakumbuka machozi yako na ninatamani sana kukuona, ili nijazwe furaha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nipate kujawa na furaha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nami natamani sana kukuona, nikiyakumbuka machozi yako, ili nijae furaha;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Nikiyakumbuka machozi yako kwa ajili yangu, ninatamani kukuona, ili niweze kujazwa na furaha.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nakumbuka machozi yako na ninatamani usiku na mchana kukuona, ili nijazwe furaha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nakumbuka machozi yako na ninatamani sana kukuona, ili nijazwe furaha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nipate kujawa na furaha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nikiyakumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona ili nipate kujawa na furaha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nikiyakumbuka machozi yako, natamani sana kukuona, ili nijawe na furaha;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nakumbuka machozi yako na ninatamani sana kukuona, ili nijazwe furaha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nami nikiyakumbuka machozi yako, ninatunukia kukuona wewe, furaha zinifurikie.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nami natamani sana kukuona, nikiyakumbuka machozi yako, ili nijae furaha;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nikikumbuka machozi yako, ninatamani sana kukuona kusudi nipate kujazwa na furaha.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
nikikumbuka machozi yako, illi nijae furaha;