2 Timothy 2:13 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tusipoaminika, yeye hudumu akiwa mwaminifu, kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama sisi hatuamini, yeye hudumu wa kuaminiwa. Kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kama hatutakuwa waaminifu, yeye anabaki kuwa mwaminifu, kwa sababu hawezi kujikana mwenyewe.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama tusipoamini, yeye hudumu kuwa mwaminifu, kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama tusipoamini, yeye hudumu kuwa mwaminifu, kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama sisi hatuamini, yeye hudumu wa kuaminiwa. Kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kama hatumtegemei, yeye hufuliza kuwa mwelekevu, kwani hawezi kujikana mwenyewe.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama sisi hatuamini, yeye hudumu wa kuaminiwa. Kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama tunakosa kuwa waaminifu, yeye anabaki mwaminifu. Kwa maana hawezi kujikana yeye mwenyewe.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
ikiwa hatuamini, yeye hudumu kuwa mwaminifu, hawezi kujikana nafsi yake.