2 Timothy 2:6 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yampasa mkulima mwenye taabu ya kazi kuwa wa kwanza wa kupata fungu la matunda.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mkulima mwenye juhudi anastahili kuwa wa kwanza kufurahia sehemu ya mavuno yake.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yampasa mkulima mwenye bidii ya kazi kuwa wa kwanza wa kupata fungu la mavuno.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mkulima ambaye amefanya kazi ngumu anastahili kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mkulima ajisumbuaye na kulima imempasa kuyalimbua matunda.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yampasa mkulima mwenye taabu ya kazi kuwa wa kwanza wa kupata fungu la matunda.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tena mulimaji anayetumika kazi ngumu ndiye anayepaswa kupata sehemu ya kwanza ya mavuno.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yampasa mkulima mwenye taabu ya kazi kuwa wa kwanza wa kuyashiriki matunda.