2 Timothy 3:12 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila mtu anayetaka kuishi maisha ya kumcha Mungu katika kuungana na Kristo Yesu lazima adhulumiwe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naam, yeyote anayetaka kuishi maisha ya utauwa ndani ya Al-Masihi Isa atateswa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naam, na wote wapendao kuishi maisha ya utauwa katika Kristo Yesu wataudhiwa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kwa hakika wote wanaoishi maisha yenye kumtukuza Mungu kama wafuasi wa Kristo Yesu watasumbuliwa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kila mtu anayetaka kuishi maisha ya kumcha Mungu katika kuungana na Kristo Yesu lazima adhulumiwe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kila mtu anayetaka kuishi maisha ya kumcha Mungu katika kuungana na Kristo Yesu lazima adhulumiwe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naam, ye yote anayetaka kuishi maisha ya utauwa ndani ya Kristo Yesu atateswa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naam, yeyote anayetaka kuishi maisha ya utauwa ndani ya Al-Masihi Isa atateswa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naam, na wote wapendao kuishi maisha ya utauwa katika Kristo Yesu wataudhiwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila mtu anayetaka kuishi maisha ya kumcha Mungu katika kuungana na Kristo Yesu lazima adhulumiwe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wote wanaotaka kuishi na kumcha Mungu kwa kuwa wake Kristo Yesu sharti wapate mafukuzo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naam, na wote wapendao kuishi maisha ya utauwa katika Kristo Yesu wataudhiwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao wote wanaotaka kuishi maisha ya kumwabudu Mungu katika kuungana na Kristo Yesu, watateswa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Naam, na wote wapendao kuishi maisha ya ntawa katika Kristo Yesu wataudhiwa.