Acts 1:17 — Compare Translations

13 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yuda alikuwa mmoja wa kikundi chetu, maana alichaguliwa ashiriki huduma yetu.” (
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yuda alikuwa mmoja wetu, kwa maana na yeye alichaguliwa ashiriki katika huduma hii.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa sababu alikuwa amehesabiwa pamoja na sisi, akapata sehemu ya huduma hii.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yuda alikuwa mmoja wa kikundi chetu maana alichaguliwa ashiriki huduma yetu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yuda alikuwa mmoja wa kikundi chetu, maana alichaguliwa ashiriki huduma yetu.” (
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yuda alikuwa mmoja wetu, kwa maana na yeye alichaguliwa ashiriki katika huduma hii.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yuda alikuwa mmoja wetu, kwa maana na yeye alichaguliwa ashiriki katika huduma hii.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa sababu alikuwa amehesabiwa pamoja na sisi, akapata sehemu ya huduma hii.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yuda alikuwa mmoja wa kikundi chetu, maana alichaguliwa ashiriki huduma yetu.” (
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani alikuwa amehesabiwa pamoja nasi, tena huu utumishi wetu ulikuwa bia moja naye.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa sababu alikuwa amehesabiwa pamoja na sisi, akapata sehemu ya huduma hii.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yuda alikuwa mumoja wa kundi letu, naye alikuwa ameshiriki pamoja nasi katika kazi hii.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
akapata sehemu ya khuduma hii.