Acts 10:15 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ile sauti ikasikika tena ikimwambia: “Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ile sauti ikasema naye mara ya pili, “Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini sauti ikamwambia tena, “Mungu amekwisha vitakasa vitu vyote hivi. Usiseme havistahili kuliwa.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ile sauti ikasikika tena ikimwambia: “Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ile sauti ikasikika tena ikimwambia: “Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ile sauti ikasema naye tena mara ya pili, “Usikiite najisi kitu cho chote alichokitakasa Bwana.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ile sauti ikasema naye mara ya pili, “Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ile sauti ikasikika tena ikimwambia: “Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini sauti ikamwambia mara ya pili: Mungu alivyovitakasa, wewe usivizie!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini ile sauti ikamurudilia, ikisema: “Vitu vilivyotakaswa na Mungu, usivihesabu kuwa vichafu.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Sauti ikamjia marra ya pili, Kilichotakaswa na Mungu, usikiite najis.