Acts 10:19 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Petro alikuwa bado anajaribu kuelewa yale maono, na hapo Roho akamwambia, “Sikiliza! Kuna watu watatu hapa, wanakutafuta.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakati Petro akiwa anafikiria kuhusu yale maono, Roho wa Mungu akamwambia, “Simoni, kuna watu watatu wanaokutafuta.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na Petro alikuwa akiyafikiri yale maono. Roho akamwambia, Wako watu watatu wanakutafuta.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Petro akiwa bado anafikiri kuhusu maono, Roho Mtakatifu akamwambia, “Sikiliza, kuna watu watatu wanakutafuta.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Petro alikuwa bado anajaribu kuelewa lile maono, na hapo Roho akamwambia, “Sikiliza! kuna watu watatu hapa, wanakutafuta.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Petro alikuwa bado anajaribu kuelewa yale maono, na hapo Roho akamwambia, “Sikiliza! Kuna watu watatu hapa, wanakutafuta.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati Petro akiwa anafikiria juu ya yale maono, Roho Mtakatifu akamwambia, “Simoni, wako watu watatu wanaokutafuta.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati Petro akiwa anafikiria juu ya yale maono, Roho wa Mwenyezi Mungu akamwambia, “Simoni, wako watu watatu wanaokutafuta.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na Petro alikuwa akiyafikiri yale maono. Roho akamwambia, Wako watu watatu wanakutafuta.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Petro alikuwa bado anajaribu kuelewa yale maono, na hapo Roho akamwambia, “Sikiliza! Kuna watu watatu hapa, wanakutafuta.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Petero alipoyafikiri moyoni, aliyoyaona, Roho akamwambia: Tazama, pana watu watatu wanaokutafuta!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na Petro alikuwa akiyafikiri yale maono. Roho akamwambia, Wako watu watatu wanakutafuta.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Petro akiwa akifikiri juu ya maana ya yale maono, Roho Mutakatifu akamwambia: “Kuna watu watatu hapa wanaokutafuta.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na Petro alikuwa akiyafikiri yale maono. Roho akamwambia, Wako watu watatu wanakutaka.