Acts 10:20 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Inuka na ushuke, usisite kwenda nao kwa kuwa mimi nimewatuma.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi ondoka ushuke ufuatane nao, usione tashwishi, kwa maana ni mimi niliyewatuma.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Inuka na ushuke chini. Nenda nao, usisite, kwa sababu nimewatuma.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Inuka na ushuke, usisite kwenda nao kwa kuwa mimi nimewatuma.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Inuka na ushuke, usisite kwenda nao kwa kuwa mimi nimewatuma.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi inuka ushuke ufuatane nao, usione tashwishi, kwa maana ni mimi niliyewatuma.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini inuka, ushuke, ufuatane nao pasipo mashaka! Kwani aliyewatuma ni mimi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi ondoka ushuke ufuatane nao, usione tashwishi, kwa maana ni mimi niliyewatuma.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, simama ushuke na kwenda pamoja nao pasipo kusita, kwa maana ni mimi niliyewatuma.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ondoka ushuke ufuatane nao, usione mashaka, kwa maana ni mimi niliyewaleta.