Acts 10:35 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu wa taifa lolote anayemcha Mungu na kutenda yaliyo sawa anapokelewa naye.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
lakini katika kila taifa, kila mtu amchaye na kutenda yaliyo haki hukubaliwa naye.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
bali katika kila taifa mtu amchaye na kutenda haki hukubaliwa na yeye.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Anamkubali yeyote anayemwabudu na anayetenda haki. Haijalishi wanatoka katika taifa lipi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mtu wa taifa lolote anayemcha Mungu na kutenda haki anapokelewa naye.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu wa taifa lolote anayemcha Mungu na kutenda yaliyo sawa anapokelewa naye.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini katika kila taifa, kila mtu amchaye na kutenda yaliyo haki hukubaliwa naye.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
lakini katika kila taifa, kila mtu amchaye na kutenda yaliyo haki hukubaliwa naye.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
bali katika kila taifa mtu amchaye na kutenda haki hukubaliwa na yeye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu wa taifa lolote anayemcha Mungu na kutenda yaliyo sawa anapokelewa naye.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
lakini katika mataifa yote anayemcha yeye na kufanya yaongokayo humpendeza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
bali katika kila taifa mtu amchaye na kutenda haki hukubaliwa na yeye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
lakini katika kila taifa mutu yeyote anayemutii Mungu na kutenda yanayokuwa ya haki, anamupendeza.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
bali katika killa taifa mtu amchae na kutenda haki hukuhaliwa nae.