Acts 10:40 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
lakini Mungu alimfufua siku ya tatu, akamfanya aonekane,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu siku ya tatu na akamwezesha kuonekana na watu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Huyo Mungu alimfufua siku ya tatu, akamjalia kudhihirika,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini siku ya tatu baada ya kifo chake, Mungu alimfufua na kumfanya aonekane wazi wazi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
lakini Mungu alimfufua siku ya tatu, akamfanya aonekane
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
lakini Mungu alimfufua siku ya tatu, akamfanya aonekane,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu siku ya tatu na akamwezesha kuonekana na watu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu siku ya tatu na akamwezesha kuonekana na watu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Huyo Mungu alimfufua siku ya tatu, akamjalia kudhihirika,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
lakini Mungu alimfufua siku ya tatu, akamfanya aonekane,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
lakini Mungu akamfufua siku ya tatu, akamtuma, atokee;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Huyo Mungu alimfufua siku ya tatu, akamjalia kudhihirika,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
lakini Mungu akamufufua kwa siku ya tatu kisha kufa kwake na kumwonyesha waziwazi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Huyu Mungu alimfufua siku ya talu, akamjalia kudhilurika,