Acts 11:2 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Petro aliporudi Yerusalemu, wale Wayahudi waumini waliopendelea watu wa mataifa mengine watahiriwe, walimlaumu wakisema:
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo Petro alipopanda Yerusalemu, waumini waliotahiriwa wakamshutumu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na Petro alipopanda kwenda Yerusalemu, wale walio wa tohara wakashindana naye,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Petro alipokuja Yerusalemu, baadhi ya waamini wa Kiyahudi walimkosoa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Petro aliporudi Yerusalemu, wale Wayahudi waumini waliopendelea watu wa mataifa mengine watahiriwe, walimlaumu wakisema:
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Petro aliporudi Yerusalemu, wale Wayahudi waumini waliopendelea watu wa mataifa mengine watahiriwe, walimlaumu wakisema:
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo Petro alipopanda Yerusalemu, wale wa tohara waliokuwa wameamini wakamshutumu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo Petro alipopanda Yerusalemu, wale wa tohara waliokuwa wameamini wakamshutumu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na Petro alipopanda kwenda Yerusalemu, wale walio wa tohara wakashindana naye,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Petro aliporudi Yerusalemu, wale Wayahudi waumini waliopendelea watu wa mataifa mengine watahiriwe, walimlaumu wakisema:
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Petero alipopanda kwenda Yerusalemu, waliotahiriwa wakabishana naye wakisema:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na Petro alipopanda kwenda Yerusalemu, wale walio wa tohara wakashindana naye,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na Petro aliporudi Yerusalema, wale wanafunzi Wayuda wakabishana naye,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na Petro alipopanda kwenda Yerusalemi, wale walio wa Tohara wakashindana nae, wakisema,