Acts 11:27 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja Antiokia kutoka Yerusalemu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakati huo manabii walishuka toka Yerusalemu hadi Antiokia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Siku zizo hizo manabii walitelemka kutoka Yerusalemu hata Antiokia.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Katika wakati huo huo baadhi ya manabii walitoka Yerusalemu na kwenda Antiokia.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja Antiokia kutoka Yerusalemu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja Antiokia kutoka Yerusalemu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati huo manabii walishuka toka Yerusalemu hadi Antiokia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati huo manabii walishuka toka Yerusalemu hadi Antiokia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Siku zizo hizo manabii waliteremka kutoka Yerusalemu hadi Antiokia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja Antiokia kutoka Yerusalemu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ikawa siku zile, wakashuka wafumbuaji toka Yerusalemu kufika Antiokia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Siku zizo hizo manabii walitelemka kutoka Yerusalemu hata Antiokia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Katika siku zile, manabii wamoja walifika Antiokia wakitoka Yerusalema.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Siku zizo hizo manabii walitelemka kutoka Yemsalemi hatta Antiokia.