Acts 11:30 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, wakafanya hivyo na kuwapa Barnaba na Saulo mchango huo wauwasilishe wao wenyewe kwa wazee wa kanisa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakafanya hivyo, misaada yao ikapelekwa kwa wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakafanya hivyo, wakawapelekea wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Walikusanya pesa na kuwapa Barnaba na Sauli, waliozipeleka kwa wazee, katika Uyahudi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, wakafanya hivyo na kupeleka mchango wao kwa wazee wa kanisa kwa mikono ya Barnaba na Saulo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, wakafanya hivyo na kuwapa Barnaba na Saulo mchango huo wauwasilishe wao wenyewe kwa wazee wa kanisa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakafanya hivyo, misaada yao ikapelekwa kwa wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakafanya hivyo, misaada yao ikapelekwa kwa wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakafanya hivyo, wakawapelekea wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, wakafanya hivyo na kuwapa Barnaba na Saulo mchango huo wauwasilishe wao wenyewe kwa wazee wa kanisa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakafanya hivyo, wakawapelekea wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakafanya hivyo, wakawapelekea wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao wakafanya vile, wakatuma misaada waliyokusanya kwa wazee wa kanisa kwa mukono wa Barnaba na Saulo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakafanya hivyo, wakawapelekea wazee kwa mikono ya Barnaha na Saul.