Acts 11:9 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ile sauti ikasikika tena kutoka mbinguni: ‘Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Sauti ikasema kutoka mbinguni mara ya pili, ‘Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sauti ikanijibu mara ya pili kutoka mbinguni, Alivyovitakasa Mungu, usivinene wewe najisi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini sauti kutoka mbinguni ikajibu tena, ‘Mungu amevitakasa vitu hivi. Usiseme havistahili kuliwa!’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ile sauti ikasikika tena kutoka mbinguni: Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ile sauti ikasikika tena kutoka mbinguni: ‘Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Sauti ikasema kutoka mbinguni mara ya pili, ‘Usikiite najisi kitu cho chote Mungu alichokitakasa.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Sauti ikasema kutoka mbinguni mara ya pili, ‘Usikiite najisi kitu chochote Mwenyezi Mungu alichokitakasa.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sauti ikanijibu mara ya pili kutoka mbinguni, Alivyovitakasa Mungu, usivinene wewe najisi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ile sauti ikasikika tena kutoka mbinguni: ‘Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini sauti ikanijibu tena toka mbinguni: Mungu alivyovitakasa, wewe usivizie!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sauti ikanijibu mara ya pili kutoka mbinguni, Alivyovitakasa Mungu, usivinene wewe najisi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini sauti ikanirudilia kutoka mbingu ikisema: ‘Vitu vilivyotakaswa na Mungu, usivihesabu kuwa vichafu.’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Sauti ikanijibu marra ya pili kutoka mbinguni, Alivyovitakasa Mungu, usivinene wewe najis.