Acts 12:16 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakati huo Petro alikuwa anaendelea kupiga hodi. Mwishowe walifungua mlango, wakamwona, wakashangaa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini Petro aliendelea kugonga langoni, nao walipofungua lango na kumwona Petro, walistaajabu sana.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Petro akafuliza kugonga, hata walipokwisha kumfungulia wakamwona, wakastaajabu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Petro aliendelea kubisha mlangoni. Waamini walipoufungua mlango na kumwona, wakashangaa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wakati huo Petro alikuwa anaendelea kupiga hodi. Mwishowe walifungua mlango, wakamwona, wakashangaa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakati huo Petro alikuwa anaendelea kupiga hodi. Mwishowe walifungua mlango, wakamwona, wakashangaa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini Petro aliendelea kugonga langoni, nao walipofungua lango na kumwona Petro, walistaajabu sana.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini Petro aliendelea kugonga langoni, nao walipofungua lango na kumwona Petro, walistaajabu sana.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Petro akafululiza kugonga, hadi walipokwisha kumfungulia wakamwona, wakastaajabu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakati huo Petro alikuwa anaendelea kupiga hodi. Mwishowe walifungua mlango, wakamwona, wakashangaa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Petero alipofuliza kugonga, wakamfungulia, wakamwona, wakashangaa sana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Petro akafuliza kugonga, hata walipokwisha kumfungulia wakamwona, wakastaajabu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa wakati ule Petro akaendelea tu kupiga hodi. Walipofungua mulango wakamwona, na kushangaa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakanena, Ni malaika wake. Petro akafuliza kugonga; hatta walipokwislia kumfungulia wakamwona, wakastaajabu.