Acts 13:18 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aliwavumilia kwa muda wa miaka arubaini kule jangwani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa muda wa miaka arobaini alivumilia matendo yao walipokuwa jangwani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na kwa muda wa miaka kama arobaini akawavumilia katika jangwa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Aliwavumilia kwa miaka arobaini walipokuwa jangwani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Aliwavumilia kwa muda wa miaka arobaini kule jangwani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aliwavumilia kwa muda wa miaka arubaini kule jangwani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa muda wa miaka arobaini alivumilia matendo yao walipokuwa jangwani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa muda wa miaka arobaini alivumilia matendo yao walipokuwa jangwani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na kwa muda wa miaka kama arobaini akawavumilia katika jangwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aliwavumilia kwa muda wa miaka arubaini kule jangwani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akawavumilia jangwani miaka kama 40.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na kwa muda wa miaka kama arobaini akawavumilia katika jangwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
na kuwavumilia katika jangwa kwa muda wa miaka makumi ine.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na panapo muda wa miaka arubaini akawaruzuku katika jangwa.