Acts 13:28 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato amhukumu auawe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ijapokuwa hawakupata sababu yoyote ya kumhukumu kifo, walimwomba Pilato aamuru auawe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na ijapokuwa hawakuona sababu ya kumfisha wakamwomba Pilato auawe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hawakupata sababu ya msingi kwa nini Yesu afe, lakini walimwomba Pilato amwue.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato amhukumu auawe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato amhukumu auawe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ijapokuwa hawakupata sababu yo yote ya kumhukumu kifo, walimwomba Pilato aamuru auawe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ijapokuwa hawakupata sababu yoyote ya kumhukumu kifo, walimwomba Pilato aamuru auawe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na ijapokuwa hawakuona sababu ya kumwua wakamwomba Pilato auawe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato amhukumu auawe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ijapokuwa hawakuona neno lolote la kumwua, wakamhimiza Pilato, aangamizwe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na ijapokuwa hawakuona sababu ya kumfisha wakamwomba Pilato auawe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ijapokuwa hawakupata sababu ya kumuhukumu kufa, wakamwomba Pilato awape ruhusa ya kumwua.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na wasipopata sababu ya kumfisha wakamwomba Pilato auawe.