Acts 13:3 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, baada ya kusali na kufunga zaidi, wakawawekea mikono, wakawaacha waende zao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo baada ya kufunga na kuomba, wakawawekea mikono yao na wakawatuma waende zao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo wakiisha kufunga na kuomba, wakaweka mikono yao juu yao, wakawaacha waende zao.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo kanisa lilifunga na kuomba. Wakaweka mikono yao juu ya Barnaba na Sauli, wakaagana nao na kuwaacha waende.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, baada ya kusali na kufunga zaidi, wakawawekea mikono, wakawaacha waende zao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, baada ya kusali na kufunga zaidi, wakawawekea mikono, wakawaacha waende zao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo baada ya kufunga na kuomba, wakawawekea mikono yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo baada ya kufunga na kuomba, wakawawekea mikono yao na wakawatuma waende zao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo wakiisha kufunga na kuomba, wakaweka mikono yao juu yao, wakawaacha waende zao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, baada ya kusali na kufunga zaidi, wakawawekea mikono, wakawaacha waende zao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, walipofunga na kuomba, wakawabandikia mikono, kisha wakawasindikiza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo wakiisha kufunga na kuomba, wakaweka mikono yao juu yao, wakawaacha waende zao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi wakafunga tena kula chakula na kuomba. Kisha wakaweka mikono juu yao na kuwatuma waende safari.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ndipo, wakiisha kuomba na kufunga, wakaweka mikono yao juu yao, wakawaacha waende zao.