Acts 13:32 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nasi tumekuja hapa kuwaleteeni Habari Njema: Jambo lile Mungu alilowaahidia babu zetu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Nasi tunawaletea Habari Njema: kwamba yale Mungu aliyowaahidi baba zetu
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na sisi tunawahubiri habari njema ya ahadi ile waliyopewa mababa,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Tunawahubiri Habari Njema kuhusu ahadi ambayo Mungu aliiweka kwa baba zetu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Sisi tumekuja hapa kuwaleteeni Habari Njema: jambo lile Mungu alilowaahidia babu zetu amelitimiza sasa kwa ajili yetu sisi tulio wajukuu wao kwa kumfufua Yesu kutoka wafu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nasi tumekuja hapa kuwaleteeni Habari Njema: jambo lile Mungu alilowaahidia babu zetu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Nasi tunawaletea habari njema kwamba yale Mungu aliyowaahidi baba zetu
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Nasi tunawaletea habari njema, kwamba yale Mungu aliyowaahidi baba zetu
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na sisi tunawahubiria Habari Njema ya ahadi ile waliyopewa mababa,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nasi tumekuja hapa kuwaleteeni Habari Njema: Jambo lile Mungu alilowaahidia babu zetu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nasi tunawapigia mbiu njema ya kile kiagio, baba zetu walichokipata kwamba:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na sisi tunawahubiri habari njema ya ahadi ile waliyopewa mababa,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na sasa sisi tunahubiri Habari Njema kwenu kwamba, ile Mungu aliyoitoa kwa babu zetu
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na sisi tunawakhubirieni ahadi ile waliyopewa baba zetu, ya kwamba Mungu ametutimizia sisi watoto wao ahadi hiyo, kwa kumfufua Yesu: