Acts 13:37 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu hakupata kuoza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu hakuona uharibifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bali huyu aliyefufuliwa na Mungu hakuona uharibifu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu hakuoza kaburini.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu hakupata kuoza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu hakupata kuoza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu hakuona uharibifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu hakuona uharibifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bali huyu aliyefufuliwa na Mungu hakuona uharibifu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu hakupata kuoza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini yule Mungu aliyemfufua, hakupa kuoza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bali huyu aliyefufuliwa na Mungu hakuona uharibifu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini yule Mungu aliyemufufua hakuoza.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bali huyu aliyefufuliwa na Mungu hakuona uharibifu.