Acts 13:40 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo jihadharini ili yale waliyosema manabii yasiwapate:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Angalieni, basi, isiwajilie habari ile iliyonenwa katika manabii.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo iweni waangalifu! Msiruhusu walichosema manabii kikawatokea ninyi:
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo jihadharini ili yale waliyosema manabii yasiwapate:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo jihadharini ili yale waliyosema manabii yasiwapate:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Angalieni, basi, isiwajie habari ile iliyonenwa katika manabii.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo angalieni, ninyi yasiwajie yaliyosemwa na Wafumbuaji ya kuwa:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Angalieni, basi, isiwajilie habari ile iliyonenwa katika manabii.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi mujiangalie vizuri kusudi maneno haya ya manabii yasiwapate ninyi:
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Angalieni, bassi, isije khabari ile iliyonenwa katika manabii,