Acts 14:18 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ingawa walisema hivyo haikuwa rahisi kuwazuia wale watu wasiwatambikie.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hata kwa maneno haya yote, ilikuwa vigumu kuzuia umati ule wa watu kuwatolea dhabihu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na kwa maneno hayo wakawazuia makutano kwa shida, wasiwatolee dhabihu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hata baada Paulo na Barnaba kusema hayo, hawakuweza kuwazuia watu kuwatolea sadaka za kuteketezwa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ingawa walisema hivyo haikuwa rahisi kuwazuia wale watu wasiwatambikie.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ingawa walisema hivyo haikuwa rahisi kuwazuia wale watu wasiwatambikie.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hata kwa maneno haya yote, ilikuwa vigumu kuuzuia ule umati wa watu kuwatolea dhabihu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hata kwa maneno haya yote, ilikuwa vigumu kuuzuia ule umati wa watu kuwatolea dhabihu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na kwa maneno hayo wakawazuia watu kwa shida, wasiwatolee dhabihu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ingawa walisema hivyo haikuwa rahisi kuwazuia wale watu wasiwatambikie.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakisema hivyo, ilisalia kidogo tu, wasiweze kuwazuia hao watu wengi, wasiwachinjie ng'ombe za tambiko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na kwa maneno hayo wakawazuia makutano kwa shida, wasiwatolee dhabihu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ijapokuwa mitume walisema maneno haya, ilikuwa vigumu kuzuiza makundi ya watu wasiwatolee sadaka.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na kwa maneno haya wakawazuia makutano kwa shidda, wasiwatolee dhabihu.