Acts 14:25 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya kuhubiri neno la Mungu huko Perga, wakateremkia Atalia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na baada ya kuhubiri lile neno katika Perge wakatelemka mpaka Atalia.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Waliwahubiri watu ujumbe wa Mungu katika mji wa Perge, kisha wakateremka kwenda katika mji wa Attalia.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya kuhubiri neno la Mungu huko Perga, wakatelemkia Atalia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya kuhubiri neno la Mungu huko Perga, wakateremkia Atalia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na baada ya kuhubiri lile neno katika Perge wakateremka mpaka Atalia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baada ya kuhubiri ule ujumbe huko Perga, walikwenda Atalia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wakalitangaza lile Neno mle Perge, wakatelemka kwenda Atalia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na baada ya kuhubiri lile neno katika Perge wakatelemka mpaka Atalia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Walipokwisha kuhubiri Neno la Mungu kwa watu wa muji Perga, wakaenda katika muji wa Atalia.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na baada ya kukhubiri katika Perga wakatelemka hatta Attalia.