Acts 15:13 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walipomaliza kuongea, Yakobo alianza kusema: “Ndugu zangu, nisikilizeni!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Walipomaliza kunena, Yakobo akasema, “Ndugu zangu, nisikilizeni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na hao walipokwisha kunyamaza Yakobo akajibu, akisema, Ndugu zangu, nisikilizeni.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Walipomaliza kusema, Yakobo akasema, “Ndugu zangu, nisikilizeni.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Walipomaliza kuongea, Yakobo alianza kusema: “Ndugu zangu, nisikilizeni!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walipomaliza kuongea, Yakobo alianza kusema: “Ndugu zangu, nisikilizeni!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Walipomaliza kunena, Yakobo akasema, “Ndugu zangu, nisikilizeni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Walipomaliza kunena, Yakobo akasema, “Ndugu zangu, nisikilizeni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na hao walipokwisha kunyamaza Yakobo akajibu, akisema, Ndugu zangu, nisikilizeni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walipomaliza kuongea, Yakobo alianza kusema: “Ndugu zangu, nisikilizeni!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Waliponyamaza tena, Yakobo akajibu akisema: Waume ndugu, mnisikilize!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na hao walipokwisha kunyamaza Yakobo akajibu, akisema, Ndugu zangu, nisikilizeni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao walipomaliza kusema, Yakobo akajibu, akisema: “Wandugu zangu, munisikilize!
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na bao walipokwisha kunyamaza Yakobo akajibu, akinena, Ndugu zangu, nisikilizeni,