Acts 15:20 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Bali tuwapelekee barua kuwaambia wasile vyakula vilivyotiwa unajisi kwa kutambikiwa vinyago vya miungu; wajiepushe na uasherati; wasile mnyama yeyote aliyenyongwa, na wasinywe damu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Badala yake, tuwaandikie kwamba wajiepushe na vyakula vilivyonajisiwa kwa kutolewa sanamu, wajiepushe na uasherati, au kula mnyama aliyenyongwa, na damu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
bali tuwaandikie kwamba wajiepushe na unajisi wa sanamu, na uasherati, na nyama zilizosongolewa, na damu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Badala yake, tuwatumie barua kuwaambia mambo ambayo hawapaswi kutenda: Wasile chakula kilichotolewa kwa sanamu maana chakula hiki huwa najisi. Wasijihusishe na dhambi ya zinaa. Wasile nyama inayotokana na wanyama walionyongwa au nyama ambayo bado ina damu ndani yake.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Bali tuwapelekee barua kuwaambia wasile vyakula vilivyotiwa najisi kwa kutambikiwa sanamu za miungu; wajiepushe na uasherati; wasile mnyama yeyote aliyenyongwa, na wasinywe damu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Bali tuwapelekee barua kuwaambia wasile vyakula vilivyotiwa unajisi kwa kutambikiwa vinyago vya miungu; wajiepushe na uasherati; wasile mnyama yeyote aliyenyongwa, na wasinywe damu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
badala yake, tuwaandikie kwamba wajiepushe tu na vitu vilivyotiwa unajisi na uasherati na wasile nyama za wanyama walionyongwa au kunywa damu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Badala yake, tuwaandikie kwamba wajiepushe na vyakula vilivyonajisiwa kwa kutolewa sanamu, wajiepushe na uasherati, au kula mnyama aliyenyongwa, na damu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
bali tuwaandikie kwamba wajiepushe na unajisi wa sanamu, na uasherati, na nyama zilizosongolewa, na damu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Bali tuwapelekee barua kuwaambia wasile vyakula vilivyotiwa unajisi kwa kutambikiwa vinyago vya miungu; wajiepushe na uasherati; wasile mnyama yeyote aliyenyongwa, na wasinywe damu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ila tuwaandikie kwamba: Miiko ni hii tu: Kutambikia mizimu, maana huchafua moyo wa mtu, tena ugoni, tena nyamafu, tena damu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
bali tuwaandikie kwamba wajiepushe na unajisi wa sanamu, na uasherati, na nyama zilizosongolewa, na damu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini inafaa tuwaandikie kwa kuwaambia kwamba wajitenge na vitu vilivyochafuliwa kwa kutambikia sanamu, waepuke uasherati na wasikule nyamafu wala damu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
balituwaandikie wajiepushe na unajisi wa sanamu na asharati na nyama zilizosongwa na damu.