Acts 15:37 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Barnaba alitaka wamchukue pia Yohane aitwaye Marko.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Barnaba alitaka wamchukue Yohana aitwaye Marko waende naye.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Barnaba akaazimu kumchukua Yohana aliyeitwa Marko pamoja nao.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Barnaba alitaka Yohana Marko afuatane nao pia.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Barnaba alitaka wamchukue pia Yohane aitwaye Marko.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Barnaba alitaka wamchukue pia Yohane aitwaye Marko.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Barnaba alitaka wamchukue Yohana aitwaye Marko waende naye.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Barnaba alitaka wamchukue Yohana aitwaye Marko waende naye.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Barnaba akaazimu kumchukua Yohana aliyeitwa Marko pamoja nao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Barnaba alitaka wamchukue pia Yohane aitwaye Marko.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini Barnaba alitaka kumchukua naye Yohana aliyeitwa Marko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Barnaba akaazimu kumchukua Yohana aliyeitwa Marko pamoja nao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Barnaba alitaka waende pamoja na Yoane, aliyeitwa vilevile Marko.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Barnaba akaazimu kumchukua Yohana aliyekwitwa Marko pamoja nao.