Acts 16:30 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, “Waheshimiwa, nifanye nini nipate kuokoka?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha akawaleta nje akisema, “Bwana zangu, nifanye nini nipate kuokoka?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, yanipasa nifanye nini nipate kuokoka?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha akawatoa nje na kusema, “Nifanye nini ili niokoke?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, “Waheshimiwa, nifanye nini nipate kuokoka?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, “Waheshimiwa, nifanye nini nipate kuokoka?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha akawaleta nje akisema, “Bwana zangu, nifanye nini ili nipate kuokoka?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha akawaleta nje akisema, “Bwana zangu, nifanye nini nipate kuokoka?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, yanipasa nifanye nini nipate kuokoka?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, “Waheshimiwa, nifanye nini nipate kuokoka?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipowapeleka nje na kuwauliza: Bwana zangu, inayonipasa kuyafanya, nipate kuokoka ndiyo nini?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, yanipasa nifanye nini nipate kuokoka?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha akawapeleka inje na kuwauliza: “Wabwana wangu, inanipasa kufanya nini kusudi nipate kuokolewa!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kiisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, nifanye nini nipate kuokoka?