Acts 17:33 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hivyo, Paulo aliwaacha, akatoka barazani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo Paulo akaondoka katikati yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi hivi Paulo akaondoka akawaacha.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo Paulo akaondoka kwenye mkutano wa baraza.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hivyo, Paulo aliwaacha, akatoka barazani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hivyo, Paulo aliwaacha, akatoka barazani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo Paulo akaondoka katikati yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo Paulo akaondoka katikati yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi hivi Paulo akaondoka akawaacha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hivyo, Paulo aliwaacha, akatoka barazani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Paulo alipotoka katikati yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi hivi Paulo akaondoka akawaacha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ni vile Paulo alivyoachana nao.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi Paolo akaondoka akawaacha.