Acts 18:1 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda Korintho.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya haya, Paulo akaondoka Athene akaenda Korintho.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Baada ya mambo hayo, Paulo akatoka Athene akafika Korintho.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baadaye, Paulo aliondoka Athene na kwenda katika mji wa Korintho.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda Korintho.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda Korintho.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya haya, Paulo akaondoka Athene akaenda Korintho.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya haya, Paulo akaondoka Athene akaenda Korintho.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Baada ya mambo hayo, Paulo akatoka Athene akafika Korintho.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda Korintho.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Paulo akatoka Atene, akafika Korinto.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Baada ya mambo hayo, Paulo akatoka Athene akafika Korintho.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nyuma ya mambo hayo, Paulo akatoka Atene, na kwenda katika muji wa Korinto.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
BAADA ya mambo haya Paolo akatoka Athene akalika Korintho.