Acts 18:16 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, akawafukuza kutoka mahakamani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akawafukuza kutoka mahakamani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawafukuza waondoke mbele ya kiti cha hukumu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo Galio akawafanya waondoke mahakamani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, akawafukuza kutoka mahakamani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, akawafukuza kutoka mahakamani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akawafukuza kutoka mahakamani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akawafukuza kutoka mahakamani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawafukuza waondoke mbele ya kiti cha hukumu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, akawafukuza kutoka mahakamani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawafukuza bomani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawafukuza waondoke mbele ya kiti cha hukumu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na kisha akawafukuza toka ndani ya tribinali.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawafukuza mbele ya kiti cha hukumu.