Acts 2:12 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wote walishangaa na kufadhaika huku wakiulizana, “Hii ina maana gani?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakiwa wameshangaa na kufadhaika wakaulizana, “Ni nini maana ya mambo haya?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakashangaa wote wakaingiwa na shaka, wakiambiana, Maana yake nini mambo haya?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Watu wote walistaajabu na pia walichanganyikiwa. Wakaulizana, “Hii yote inamaanisha nini?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wote walishangaa na kufadhaika huku wakiulizana, “Hii ina maana gani?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wote walishangaa na kufadhaika huku wakiulizana, “Hii ina maana gani?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakiwa wameshangaa na kufadhaika wakaulizana, “Ni nini maana ya mambo haya?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakiwa wameshangaa na kufadhaika wakaulizana, “Ni nini maana ya mambo haya?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakashangaa wote wakaingiwa na shaka, wakiambiana, Maana yake nini mambo haya?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wote walishangaa na kufadhaika huku wakiulizana, “Hii ina maana gani?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakastaajabu wote wakipotelewa nayo, wakaulizana wao kwa wao: Jambo hili litakwenda kuwaje?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakashangaa wote wakaingiwa na shaka, wakiambiana, Maana yake nini mambo haya?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wote wakashituka na kushangaa, wakaulizana: “Maana ya mambo haya ni nini?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakashangaa wote wakaingiwa na mashaka, wakaambiana, Maana yake nini mambo haya?