Acts 2:13 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini wengine wakawadhihaki wakasema, “Hawa wamelewa kwa divai!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini wengine waliwacheka mitume, wakisema wamelewa kwa mvinyo mwingi waliokunywa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini wengine wakawadhihaki wakasema, “Hawa wamelewa mvinyo!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini wengine wakawadhihaki wakasema, “Hawa wamelewa divai!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini wengine wakafyoza wakisema: Wamelewa mvinyo mbichi!*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wengine walidhihaki, wakisema, wamelewa kwa mvinyo mpya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini wengine waliwachekelea waamini, wakisema: “Watu hawa wamelewa kabisa.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wengine walidhihaki, wakisema, Wamelewa kwa mvinyo mpya.