Acts 2:15 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hakika watu hawa hawajalewa kama mnavyodhania, kwa kuwa sasa ni saa tatu asubuhi!
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sivyo mnavyodhani; watu hawa hawakulewa, kwa maana ni saa tatu ya mchana;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Watu hawa hawajalewa kwa mvinyo kama mnavyodhani; bado ni saa tatu asubuhi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hakika watu hawa hawakulewa kama mnavyodhania, kwa kuwa sasa ni saa tatu asubuhi!
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hakika watu hawa hawakulewa kama mnavyodhania, kwa kuwa sasa ni saa tatu asubuhi!
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sivyo mnavyodhani; watu hawa hawakulewa, kwa maana ni saa tatu ya mchana;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani hawa hawakulewa, kama ninyi mnavyowawazia, maana sasa ni saa tatu ya mchana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sivyo mnavyodhani; watu hawa hawakulewa, kwa maana ni saa tatu ya mchana;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu hawa si walevi kama munavyozani, kwa sababu ingali tu saa tatu ya asubui.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Sivyo mnavyodhani; watu hawa hawakulewa, kwa maana ni saa tatu ya mchana;