Acts 2:16 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ukweli ni kwamba jambo hili ni lile alilosema nabii Yoeli:
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
La, hili ni jambo lililotabiriwa na nabii Yoeli, akisema:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
lakini jambo hili ni lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yoeli,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Nabii Yoeli aliandika kuhusu jambo hili mnaloliona likitokea hapa. Aliandika:
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ukweli ni kwamba jambo hili ni lile alilosema nabii Yoeli:
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ukweli ni kwamba jambo hili ni lile alilosema nabii Yoeli:
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hawa hawakulewa, ila jambo hili ni lile lililotabiriwa na nabii Yoeli, akisema:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
La, hili ni jambo lililotabiriwa na nabii Yoeli, akisema:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
lakini jambo hili ni lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yoeli,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ukweli ni kwamba jambo hili ni lile alilosema nabii Yoeli:
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini hili ndilo lililosemwa na mfumbuaji Yoeli, ya kuwa
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
lakini jambo hili ni lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yoeli,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini jambo hili ni lile lililosemwa na nabii Yoeli.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
lakini jambo hili ni lile lililonenwa kwa kinywa cha nabii Yoel: