Acts 2:18 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Naam, hata watumishi wangu wa kiume na kike, nitawamiminia Roho wangu siku zile, nao watatoa unabii.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hata juu ya watumishi wangu, wanaume kwa wanawake, katika siku zile nitamimina Roho wangu, nao watatabiri.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naam, na siku zile nitawamwagia watumishi wangu wanaume na wanawake Roho yangu, nao watatabiri.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Katika siku hizo nitaimimina Roho yangu kwa watumishi wangu, wanaume na wanawake, nao watatabiri.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Naam, hata watumishi wangu, wanaume kwa wanawake, nitawamiminia Roho wangu, siku zile, nao watautangaza ujumbe wangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Naam, hata watumishi wangu wa kiume na kike, nitawamiminia Roho wangu siku zile, nao watatoa unabii.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hata juu ya watumishi wangu nitamwaga Roho wangu, nao watatabiri.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hata juu ya watumishi wangu, wanaume kwa wanawake, katika siku zile nitamimina Roho wangu, nao watatabiri.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naam, na siku zile nitawamwagia watumishi wangu wanaume na wanawake Roho yangu, nao watatabiri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Naam, hata watumishi wangu wa kiume na kike, nitawamiminia Roho wangu siku zile, nao watatoa unabii.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao walio watumwa wangu waume na wake nitawamiminia Roho yangu siku zilezile, nao watasema na kufumbua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naam, na siku zile nitawamwagia watumishi wangu wanaume na wanawake Roho yangu, nao watatabiri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hakika katika siku zile nitashusha Roho wangu juu ya watumishi wangu, wanaume na wanawake, nao watatabiri.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na siku zile nitawamwagia watumishi wangu wanaume na wauawake Roho yangu, Nao watatabiri,