Acts 2:21 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hapo, yeyote atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Na kila mtu atakayeliitia jina la Mwenyezi Mungu, ataokolewa.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na itakuwa kila atakayeliitia jina la Bwana ataokolewa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na kila amwombaye Bwana’ ataokolewa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hapo, yeyote atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hapo, yeyote atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini ye yote atakayeliita jina la Bwana, ataokolewa.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Na kila mtu atakayeliitia jina la Bwana Mwenyezi Mungu, ataokolewa.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na itakuwa kila atakayeliitia jina la Bwana ataokolewa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hapo, yeyote atakayeomba kwa jina la Bwana, ataokolewa.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena itakuwa, kila atakayelitambikia Jina la Bwana, ataokoka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na itakuwa kila atakayeliitia jina la Bwana ataokolewa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu watu wote watakaoomba kwa jina la Bwana ataokolewa.’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na itakuwa killa atakaeliitia jiua la Bwana ataokolewa.